Friday, July 3, 2015

MAELEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2015 ENGUTOTO SECONDARI

Ndugu mwanafunzi na mzazi ambae mwanao amechaguliwa kujiunga kidato cha tano shule ya sekondari engutoto mwaka wa masomo 2015 Shule itafunguliwa tarehe 06/07/2015 na wanafunzi wa kidato cha tano watatkiwa kufika shuleni kuanzia terehe hiyo hadi tarehe 18 mwezi july bila kuzidisha hata siku moja mwanafunzi anayetarajia kujiunga na masomo katika shule hii atapaswa kuja na mambo muhimu yafuatayo VIFAA NA MAHITAJ YA LAZIMA KWA KILA MWANAFUNZI SARE ZA SHULE 1; Suruali mbili za heshima rangi ya kahawia (zenye marinda) 2; Shati mbili nyeupe za heshima mikono mirefu 3;V. Soksi jozi mbili rangi nyeusi , VI. Mkanda mweusi wa kawaida usio na urembo. VII. Sweta ya rangi bluu bahari inapatikana shuleni kwa bei ya Tshs 17,000/= VIII. Jezi za michezo zinapatikana shuleni kwa bei ya Tshs. 15,000/= IX. Tai rangi ya kahawia X. Suruali mbili nyeusi za kushindia, pamoja na shati /T – shirt mbili za light blue. XI. Koti jeusi kwa ajili ya baridi usiku ADA NA MICHANGO MBALI MBALI Ada ya shule kwa mwaka ni sh 70,000/= Uboreshaji wa miundombinu sh 40,000/= UBoreshaji wa taluma tsh 40,000/= tahadhari Tsh 5000/= Matibabu tsh 15,000/= kitambulisho Tsh 5000/= Nembo Tsh 2000/= Jumla ya fedha zote n Tsh 187,000/= kwa mwaka au 152,000/= kwa muhula Tafadhari ndugu mzaz au mlezi mwanao hatapokelewa katika shule yetu bila kutimiza mambo yaliyo ainishwa hapo juu pia malipo yote yafanyike kupitia A/C NO; 41301100030 ENGUTOTO SECONDARY SCHOOL FUND katika tawi lolote la NMB na mwanafunzi atatkiwa kuripoti na BANK PAYIN SLIP yenye jina lake si la mzaz wala mlezi (ix) REKI 1 na PANGA 1 jipya lenye mpini, (x)Daftari kubwa counter Quire( 4) 7, rula ndefu (futi moja) kalamu za wino, penseli na mkebe (Mathematical Set), (xi) Mfuko (School bag ) mzuri na imara kwa ajili ya kubebea vitabu na daftari za shule , (xii) Shuka mbili za rangi ya pink (xiii) Ndoo mbili kwaajili ya kuhifadhia maji yake ya kunywa na kuogea. (xiv) Sanduku la bati kwa ajili ya kutunzia vitu vyake kwa usalama zaidi. (xv)SAHANI, KIKOMBE na KIJIKO kwa ajili ya chakula chake, Vyombo Hivyo visiwe vya Plastiki. Ni MARUKUKU kwa mwanafunzi yeyote Kuchangia vyombo wakati wa kula (Xvi) Kila mwanafunzi aje na “RIM” (rulled paper) moja ya karatasi kwa ajili ya mitihani na majaribio. N.B: kila mwanafunzi aje na godoro, futi tatu(3) 4.0. MAKOSA YANAYOWEZA KUSABABISHA MWANAFUNZI KUFUKUZWA SHULE: (i) Wizi wa aina yoyote, (ii) Uasherati, Ubakaji, Ulawiti na Ushoga, (iii) Ulevi na matumizi ya dawa za kulevya, (iv) Uvutaji wa bangi, (v) Makosa ya Jinai, (vi) Kupiga au kupigana, (vii) Kuharibu kwa makusudi mali ya mtu/shule /Umma/ fedha za Serikali (viii) Kudharau bendera ya Taifa /Viongazi wa Serikali, (ix) Kuoa (x) Kusababisha mimba nje ya shule (xi) Kutohudhuria vipindi vya darasani, ikiwa ni pamoja na vipindi Viwili vya Dini kila wiki, kutofanya mitihani, majaribio au kazi nyingine za shule bila kibali cha Mkuu wa shule (xii) Kugoma, kuchochea na kuongaza mgomo au kuvuruga amani na usalama wa shule,raia na mali zao, (xiii) Ushabiki wa vyama vya siasa ukiwa shuleni, (xiv) Kuvunja sheria za shule (xv) Kukataa adhabu ya viboko. (xvi) Ni marufuku mwanafunzi kuja na SIMU YA MKONONI SHULENI. Ukikutwa na simu itavunjwa vunjwa mara moja na utafutwa shule bila onyo ya awali. 5.0. MUHIMU SANA KWA MWANAFUNZI NA MZAZI/MLEZI: i. Mwanafunzi hatapokelewa shuleni kama hakukamilisha kipengele cha 2.0 na 3.0 hapo juu, ii. Mwanafunzi afike shuleni akiwa na nakala ya “result slip” ya kidato cha nne kuepuka usumbufu katika usajili. iii. School Motto ni “ EDUCATION FOR WISDOM” (ELIMU KWA AJILI YA KUPATA BUSARA), HITIMISHO: Ikiwa Mzazi/Mlezi na mwanafunzi HAKUBALIANI na MASHARTI yaliyotajwa katika maagizo haya, mwanafunzi ASIJE SHULENI na MZAZI/MLEZI afanye utaratibu wa kumtafutia UHAMISHO kijana wake kwenda shule nyingine itakayomfaa. Mwanafunzi anayeamua kuja hapa shuleni, baada ya kusoma na kuelewa taratibu za shule hii ya sekondari Engutoto, hategemewi kuvunja Sheria / Kanuni na Taratibu za Shule, kwani akifanya hivyo ni kwa makusudi na sio bahati mbaya. Mwisho, Karibu sana Shule ya Sekondari ENGUTOTO ili ufaidike kwa kupata ELIMU BORA. …………………… MKUU WA SHULE Nakala: (i) Katibu Mkuu ~ WEMU …………………. Kwa Taarifa (ii) Afisaelimu (M) …………………. Kwa Taarifa (iii) Mkaguzi Mkuu wa Shule (K) ………………….. Kwa Taarifa (iv) Afisaelimu shule za sekondari (W) MONDULI …… Kwa Taarifa (v) Wajumbe wa Bodi ya Shule ~ Engutoto Sekondari ... Kwa Taarifa WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI SHULE YA SEKONDARI ENGUTOTO TAARIFA MUHIMU ZA MWANAFUNZI FOMU A SEHEMU HII IJAZWE NA MWANAFUNZI MWENYEWE KWA HERUFI KUBWA: 1. (i) JINA LA MWANAFUNZI ………………………………………………… NB: Jina liwe lile lililotumika katika mtihani wa kidato cha nne - 2014. (ii) Tarehe ya kuzaliwa ………………… kijiji …………………… kata …………… Tarafa ……………………….. Wilaya ……………………….. Mkoa…………… (iii) Dini ………………………………………… Madhehebu ………………………. 2. AFYA: (i) Taja magonjwa yoyote makubwa uliyowahi kuugua k.m.f. TB, POLIO, KIFAFA n.k. ………………………………………………………………………………………… (ii) Taja matatizo yoyote ya afya yako ………………………………………………….. 3. JINA LA MZAZI: (i) Baba …………………………………………. Hai/ Amefariki Lini ………….... (ii) Mama ………………………………………… Hai/ Amefariki Lini ………………. ( Kata isiyostahili) 4. KAZI YA: (i) Baba ……………………… Dini ………………… Madhehebu …......................... (ii) Mama …………………….. Dini …………………. Madhehebu …………………. (iii) Anwani ya Mzazi/Mlezi ………………………………………………………….... (iv) Mwanafunzi anaishi na: (Weka V sehemu iliyo sahihi) (a) Baba tu (b) Mama tu (c) Wazazi wote wawili (d) Mlezi 5. MZAZI/MLEZI/TAASISI ITAYOGHARAMIKIA MAHITAJI YA SHULE: (i) Jina …………………………………………………………………………………. (ii) Kazi yake ni ………………………………………………………………………… (iii) Anuani yake ni ………………………...... (iv) Simu …………………………….. (v) Uhusiano wake …………………………. (Mf. Baba, Mama, Dada, Mjomba n.k) (iv) Dini yake …………………………...... Madhehebu ………………………………. 6. UTHIBITISHO WA MWANAFUNZI: Mimi ……………………………….. nakubali kujiunga na Shule ya ENGUTOTO Sekondari na kuthibitisha kuwa, nitafuata sheria na Taratibu zote za Shule hii ili nitimize lengo la kuja shuleni kwa manufaa yangu/ familia na Taifa kwa ujumla. Endapo nitakwenda kinyume na Sheria /Kanuni /Taratibu za shule nitakubali kuadhibiwa. Saini ya mwanafunzi ………………………………. Tarehe ……………………………. 7. SEHEMU HII IJAZWE NA MZAZI/MLEZI/TAASISI HUSIKA: Mimi ……………………………………. Nathibitisha kuwa, taarifa hiyo hapo juu ni sahihi. Ninaahidi kushirikiana na uongozi wa shule na walimu wote kuhakikisha kijana wangu anakuwa na NIDHAMU na JUHUDI katika masomo. Aidha, nitagharamia Mahitaji yake ya shule, ili kumjengea mazingira mazuri ya kusoma katika kipindi chote atakachokuwa shuleni kwa kuzingatia sheria/ Kanuni na Taratibu za Shule. Saini ya Mzazi/Mlezi/Taasisi ……………………………….. Tarehe …………… MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING FORM B part A ENGUTOTO SECONDARY SCHOOL P.O.BOX 143 TEL: +255 754 205 853 / +255 754 859 146 MONDULI 03.06.2015 REF.NO:ENG/SS/F.V.SEL/2015/02 TO: THE MEDICAL OFFICER, ………………………………. ……………………………… RE: REQUEST FOR MEDICAL EXAMINATION TO: Mr. ……………………………………………………… FORM 5~ 2015 Please examine the above named as to his physical and mental fitness for full time schooling course. The Examination should include the following categories [i-iii]. (i) (a) Eye (b) Hearing (c) Limbs (d) Speech (e) Venereal disease (s) (f) Leprosy (g) Epilepsy (ii). Neuroses (iii)Other serious diseases ………………………… HEADMASTER PART B. MEDICAL CERTIFICATE [To be completed by Government Medical Officer] I have examined the above named and consider that * he is physically * fit/unfit and mentally * fit/unfit for the full time schooling course: (i) (a) Eye Sight ……………………………. (b) Hearing …………...................... (c) Limbs ………………………………. (d) Speech …………………………. (e) Venereal diseases (s) …………………. (f) Leprosy ……………………….. (g) Epilepsy ………………………………….. (ii)Neuroses ………………………………………………………. (iii) Other serious diseases ………………………………………… Station ………………………………………………. Signature ……………….............. Designation ……………………………………………. Date …………………………. * Delete whichever is unnecessary.